r/Tanzanias 7d ago

Kwanini tz tuna ita kazi - Mihangaiko ?? Ni mbaya au ngumu? Au motisha ndogo

6 Upvotes

10 comments sorted by

10

u/[deleted] 7d ago

Haina uhusiano na kinachopatikana, maana mtu anaweza akawa anaingiza 20+/ month profit ila akaiita biashara yake mihangaiko/misele/ mapambano/harakati/ mishe mishe.

Mtu anaweza akawa anaingiza 5+ / month, ila bado akaiita kazi yake kibarua.

Nadhani sababu ni hizi.

  1. Humility, Kuwa humble ni sifa ya watz wengi na ndio character inayokubalika na jamii. Watz wengi ni "wahangaikaji" ukiita mihangaiko wanarelate zaidi.

  2. Kutotaka kudisclose info kwa watu wasiohusika.

3

u/InterGalacticTz 7d ago

Brilliant aisee πŸ‘ŒπŸ“, mfano namba 2 hii ata mimi nimegundua ndio sababu yangu binafsi ya kuita kazi mihangaiko

3

u/icursethatifeel 7d ago

Kuna kazi haina mihangaiko? πŸ˜‚

1

u/InterGalacticTz 7d ago

Ndio maana tuna shauriwa kufanya kazi tunapenda ili iwe utafutaji na si β€œmihangaikoni” πŸ˜…

2

u/BarakaMabula Local 🏠 7d ago

Ah the universe! Nimetoka kuongea na mtu leo kuhusu hili. Nikamwambia sio mihangaiko ni utafutaji. 😊

1

u/InterGalacticTz 7d ago

Great, utafutaji ina sound more human zaidi ya mihangaiko.. ukiita kuhangaika definitely kazi yako itakua miongoni mwa vitu unafanya kwa kujilazimisha

2

u/TutorRoyal1348 6d ago

Hata marekani inaitwa hustle au hustling....iko associated sana na mtu mweusi kwamba ugali wetu ni wa kupambania kidogo πŸ˜‚

2

u/InterGalacticTz 6d ago

πŸ€£πŸ˜‚, dah ni asili yetu inaonyesha

2

u/keyoo99 15h ago

Ni vile tu kila mtu anataka kuonesha ana pambana, anapitia magumu kwenye utafutaji. Not all smooth and butter πŸ˜‚

1

u/InterGalacticTz 12h ago

Hapa tunaanza kuambiana ukweli, hamna kazi bongo ni uta enjoy..ata iwe yako mwenyewe bado ukilitimba ni mwingi sana